Swahili
Sorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming )

Verses Number 26

هَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ الْغَاشِيَةِSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 1
Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza?
وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ خَاشِعَةٌSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 2
Siku hiyo nyuso zitainama,
عَامِلَةٌ نَّاصِبَةٌSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 3
Zikifanya kazi, nazo taabani.
تَصْلَى نَارًا حَامِيَةًSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 4
Ziingie katika Moto unao waka -
تُسْقَى مِنْ عَيْنٍ آنِيَةٍSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 5
Zikinyweshwa kutoka chemchem inayo chemka.
لَّيْسَ لَهُمْ طَعَامٌ إِلاَّ مِن ضَرِيعٍSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 6
Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba.
لا يُسْمِنُ وَلا يُغْنِي مِن جُوعٍSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 7
Hakinenepeshi wala hakiondoi njaa.
وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ نَّاعِمَةٌSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 8
Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu.
لِسَعْيِهَا رَاضِيَةٌSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 9
Zitakuwa radhi kwa juhudi yao,
فِي جَنَّةٍ عَالِيَةٍSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 10
Katika Bustani ya juu.
لّا تَسْمَعُ فِيهَا لاغِيَةًSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 11
Hawatasikia humo upuuzi.
فِيهَا عَيْنٌ جَارِيَةٌSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 12
Humo imo chemchem inayo miminika.
فِيهَا سُرُرٌ مَّرْفُوعَةٌSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 13
Humo vimo viti vilivyo nyanyuliwa,
وَأَكْوَابٌ مَّوْضُوعَةٌSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 14
Na bilauri zilizo pangwa,
وَنَمَارِقُ مَصْفُوفَةٌSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 15
Na matakia safu safu,
وَزَرَابِيُّ مَبْثُوثَةٌSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 16
Na mazulia yaliyo tandikwa.
أَفَلا يَنظُرُونَ إِلَى الإِبِلِ كَيْفَ خُلِقَتْSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 17
Je! Hawamtazami ngamia jinsi alivyo umbwa?
وَإِلَى السَّمَاء كَيْفَ رُفِعَتْSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 18
Na mbingu jinsi ilivyo inuliwa?
وَإِلَى الْجِبَالِ كَيْفَ نُصِبَتْSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 19
Na milima jinsi ilivyo thibitishwa?
وَإِلَى الأَرْضِ كَيْفَ سُطِحَتْSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 20
Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa?
فَذَكِّرْ إِنَّمَا أَنتَ مُذَكِّرٌSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 21
Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji.
لَّسْتَ عَلَيْهِم بِمُصَيْطِرٍSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 22
Wewe si mwenye kuwatawalia.
إِلاَّ مَن تَوَلَّى وَكَفَرَSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 23
Lakini anaye rudi nyuma na kukataa,
فَيُعَذِّبُهُ اللَّهُ الْعَذَابَ الأَكْبَرَSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 24
Basi Mwenyezi Mungu atamuadhibu kwa adhabu iliyo kubwa kabisa!
إِنَّ إِلَيْنَا إِيَابَهُمْSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 25
Hakika ni kwetu Sisi ndio marejeo yao.
ثُمَّ إِنَّ عَلَيْنَا حِسَابَهُمْSorah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) Verse Number 26
Kisha hakika ni juu yetu Sisi hisabu yao!