Swahili
Sorah Al-Qari'ah ( The Striking Hour )

Verses Number 11

الْقَارِعَةُSorah Al-Qari'ah ( The Striking Hour ) Verse Number 1
Inayo gonga!
مَا الْقَارِعَةُSorah Al-Qari'ah ( The Striking Hour ) Verse Number 2
Nini Inayo gonga?
وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْقَارِعَةُSorah Al-Qari'ah ( The Striking Hour ) Verse Number 3
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
يَوْمَ يَكُونُ النَّاسُ كَالْفَرَاشِ الْمَبْثُوثِSorah Al-Qari'ah ( The Striking Hour ) Verse Number 4
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
وَتَكُونُ الْجِبَالُ كَالْعِهْنِ الْمَنفُوشِSorah Al-Qari'ah ( The Striking Hour ) Verse Number 5
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
فَأَمَّا مَن ثَقُلَتْ مَوَازِينُهُSorah Al-Qari'ah ( The Striking Hour ) Verse Number 6
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
فَهُوَ فِي عِيشَةٍ رَّاضِيَةٍSorah Al-Qari'ah ( The Striking Hour ) Verse Number 7
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
وَأَمَّا مَنْ خَفَّتْ مَوَازِينُهُSorah Al-Qari'ah ( The Striking Hour ) Verse Number 8
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
فَأُمُّهُ هَاوِيَةٌSorah Al-Qari'ah ( The Striking Hour ) Verse Number 9
Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
وَمَا أَدْرَاكَ مَا هِيَهْSorah Al-Qari'ah ( The Striking Hour ) Verse Number 10
Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?
نَارٌ حَامِيَةٌSorah Al-Qari'ah ( The Striking Hour ) Verse Number 11
Ni Moto mkali!